RAIS MWINYI AMEKUTANA NA UJUMBE WA IMF
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. HusseinAli Mwinyi amelipongeza Shirika la Fedha Duniani (IMF), kwakuendelea kuinga mkono Zanzibar katika kuimarisha uchumi wake.Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo leo Ikulu Zanzibar wakati alipokutana nakufanya mazungumzo na ujumbe wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), ukiongozwana Mshauri wa Shirika hilo wa masuala ya maendeleo Barani
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed